Life Lessons you need to learn about Heaven Kingdom

IJUE BIBLIA | KNOW THE BIBLE


UFALME WA MUNGU



Warumi 14:17 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)

17 Kwa maana Ufalme wa Mungu si kula na kunywa bali ni haki, amani na furaha ndani ya Roho Mtakatifu.


Tafakari juu ya huu ufalme ambapo maandiko yanasema tutaingia na SIO KWENDA. Hakuna kwenda kwenye ufalme bali kuna kuingia. hivyo hakuna safari yoyote tutayofunga na kusafiri kwenda huko ila tunaingia kwakua Ufalme huo upo tayari ndani ya kila mmoja, na Ufalme huo sio wa kula na kunywa kwa maana nyingine ni Roho ya mtu ambayo ni sura na mfano wa Mungu ambao ndani yake huangaza Haki, amani na furaha ambayo roho hii inaishi ikiwa hapa duniani katika mwili pamoja na yule Roho wa Mungu yaani Mtakatifu.
Tafakari njema na karibu kushirikiana nasi katika tafakari hizi.

Mungu wa akutie nguvu katika kujifunza mambo ya Ufalme wa Mungu, mamlaka yake na ukuu wake,
Barikiwa na Bwana wetu Yesu Kristo, mpendwa
Reactions

Post a Comment

0 Comments